Tamasha la Fintech la teknolojia ya kifedha katika Afrika mashariki lilionza tarehe 13 juni mwaka 2025 katika ukumbi wa Julius Nyerere international convention center (JNICC), limeelezwa ndio tamasha kubwa zaidi Afrika mashariki linalokutanisha wakali wa teknolojia wa fedha kutoka nchi zaidi ya 70 Duniani na kuungana na jumuiya ya fintech na kujadili fursa mbalimbali zinazosaidia kukuza teknolojia ya kifedha pamoja na kuinua uchumi kwa njia ya teknolojia.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Eastern Star consulting group bw. Deogratius Kilawe katika ufunguzi wa tamasha hilo.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...