Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), leo ameongoza kikao cha pili cha Tume ya Taifa ya Mipango Jijini Dodoma.
Prof. Mkumbo ameongoza kikao hicho kilichojadili Mandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 na Mpango Elekezi wa Maendeleo wa Mmuda Mrefu (LTPP) kwa niaba ya Mwenyekiti wa Tume hiyo, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.



Prof. Mkumbo ameongoza kikao hicho kilichojadili Mandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 na Mpango Elekezi wa Maendeleo wa Mmuda Mrefu (LTPP) kwa niaba ya Mwenyekiti wa Tume hiyo, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...