
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. George Simbachawene,akipata maelezo kutoka kwa Afisa Logistiki wa Mafuta Bi. Hilda Kowero mara baada ya kutembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. George Simbachawene,akipokea zawadi katika banda la PBPA mara baada ya kutembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.



WANANCHI mbalimbali wakipata elimu katika banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...