Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Tanzania bi.Hadija Juma Ngasongwa akisaini kitabu Cha wageni mara baada ya kutembelea banda la Wakala Wa Vipimo (WMA) na kujionea huduma wanaoyoitoa katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

WMA ni miongoni mwa Taasisi ambazo zinashiriki katika Maonesho hayo kwaajili ya kutoa elimu kuhusu majukumu ambayo wanayafanya.




Wadau mbalimbali na wananchi kwa ujumla wakiwa katika banda la Wakala Wa Vipimo (WMA) na kujionea huduma wanaoyoitoa katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

WMA ni miongoni mwa Taasisi ambazo zinashiriki katika Maonesho hayo kwaajili ya kutoa elimu kuhusu majukumu ambayo wanayafanya.





Watumishi wa Wakala Wa Vipimo (WMA) wakitoa zawadi kwa wadau na wananchi walioytembelea banda lao kujionea huduma wanaoyoitoa katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

WMA ni miongoni mwa Taasisi ambazo zinashiriki katika Maonesho hayo kwaajili ya kutoa elimu kuhusu majukumu ambayo wanayafanya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...