KWENYE ulimwengu wa kasino mtandaoni, kila mchezaji anatafuta kitu kimoja zaidi ya ushindi wa bahati, anatafuta kuthaminiwa. Na sasa, Meridianbet imeamua kwenda mbali zaidi kwa kuzindua promosheni ya kibabe inayotikisa mitaa, ni Loyalty Pays. Hii siyo ofa ya kawaida, ni bonasi ya kipekee inayolipa uaminifu wako wa kila siku. Kama wewe ni mchezaji wa michezo ya kasino kama Slots, Roulette, Poker, Blackjack au Quiz Games, basi huu ndio wakati wako wa kung’ara. Meridianbet sasa inakupa nafasi ya kushinda hadi TSH 10,000,000 kila Ijumaa.

Promosheni hii yenye kauli mbiu “Loyalty Pays” siyo maneno tu, ni ahadi ya kweli kutoka Meridianbet kwa wateja wake waliodumu na kujitolea. Hii siyo bahati nasibu, ni zawadi ya jasho lako, kwa wale wanaoingia kila siku, kucheza kwa bidii, na kuweka muda wao kwenye michezo ya kasino. Meridianbet imeamua kurejesha fadhila kwa watu wanaofanya jukwaa hili kuwa mahali pa ushindani, burudani na mahala pa kujitafutia kipato.

NB: Jisajili na Meridianbet na cheza michezo ya kasino ya mtandaoni upate ushindi kirahisi, Pia ongeza maokoto yako kwa kubashiri michezo mbalimbali yenye ODDS KUBWA. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz

Unajiuliza unawezaje kushiriki? Ni rahisi ajabu. Kwanza kabisa, hakikisha una akaunti halali ya Meridianbet, iwe kwenye tovuti au kupitia app yako ya simu. Halafu, cheza michezo ya kasino kuanzia Ijumaa hadi Alhamisi ya kila wiki, ukitumia pesa halisi (cash bets). Unatakiwa kutumia angalau TSH 50,000 kwa siku, kwa siku zote saba. Kwa kila siku unayokamilisha kiwango hicho, unapata pointi zenye thamani ya dau lako huku kila point ikiwa sawa na TSH 2,500.

Meridianbet pia imeweka wazi ni mchezo gani utakupa faida ya haraka. Slots & Games zinakupa alama 4 kwa kila mzunguko. Roulette na Poker zinakupa alama 1 kwa kila mchezo, huku Blackjack na Quiz Games zikiwa na alama 0.5 kwa kila mchezo. Kwa hiyo kama kweli unataka kuongeza kasi ya ushindi wako, Slots ndiyo njia ya mkato ya kuelekea kileleni.

Wakati wengine wanacheza kwa bahati tu na kurudi mikono mitupu, Meridianbet imeamua kugeuza mchezo huu kuwa wa maana zaidi. Kupitia Loyalty Pays, sasa kila dau lako lina faida, kila mchezo una thamani, na kila wiki inaleta matumaini mapya. Hii ni fursa ya kuonyesha kuwa uaminifu wako una maana, na kwamba ukiwekeza kwenye michezo ya kasino kwa mikakati na kujituma, unaweza kulipwa vizuri na si kwa maneno, bali kwa fedha taslimu.

Usikae pembeni ukitazama wenzako wakishinda. Sajili akaunti yako ya Meridianbet leo, anza kucheza michezo unayopenda, na kila Ijumaa ni nafasi ya kutengeneza mamilioni yako. Kama kuna wakati wa kuchukua hatua, ni sasa. Kama kuna jukwaa la kuthamini bidii yako, basi ni Meridianbet. Na kama kuna kauli mbiu unayopaswa kuiamini leo, basi ni hii ya LOYALTY PAYS.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...