Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameondoka Zanzibar leo, tarehe 23 Julai 2025, na kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Nachingwea tayari kuelekea Lupaso, Mtwara, kuhudhuria Ibada Maalum ya Kumbukumbu ya Miaka Mitano ya Rais wa Awamu ya Tatu wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa.
Alipowasili alipokewa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala, pamoja na Viongozi mbalimbali wa wa Serikali na Vyombo vya Ulinzi na Usalama.

Alipowasili alipokewa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala, pamoja na Viongozi mbalimbali wa wa Serikali na Vyombo vya Ulinzi na Usalama.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...