*Ni kupitia Msafara wa waendesha baiskeli wa Twende Butiama

Mkuu wa Kanda ya Kati wa Vodacom Tanzania, Chiha Nchimbi (kulia) na Mkuu wa Mtandao wa Matawi wa Benki ya Stanbic Tanzania, Geofrey Mwijage (kushoto), wakikabidhi miche 100 ya miti kwa Mkuu wa Divisheni ya Awali na Msingi wa Manispaa ya Singida, Omari Maje, katika Shule ya Msingi Minga mkoani Singida. Ikiwa ni sehemu ya msafara unaoendelea wa Twende Butiama ulioanza Julai 3 mwaka huu, msafara huo pia ulikabidhi magodoro 30, vitanda vitano, mashuka 20, madawati 10 na vitimwendo 6 (wheelchairs) kwa shule hiyo. Shughuli hizi zinafanyika kwa ufadhili wa Vodacom Tanzania na Benki ya Stanbic Tanzania.


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...