MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kujenga masoko makubwa mapya matano ili kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira bora zaidi.
✅ Maeneo mapya: Kinyasini, Mwera, Kibandamaiti, Kisauni na Kwahajitumbo
✅ Kupunguza msongamano na kodi kubwa kwa wafanyabiashara
✅ Kuendeleza biashara na uchumi wa Zanzibar
Rais Dkt. Mwinyi amewaomba wafanyabiashara na wananchi kumchagua tena pamoja na wabunge, wawakilishi na madiwani wa CCM ili kuiongoza Zanzibar na kutimiza dhamira ya ujenzi wa masoko hayo na maendeleo kwa ujumla.
Dkt. Mwinyi ametoa wito kwa wananchi kudumisha amani na kujotokeza kwa wingi siku ya kupiga kura.
#HAM2025 #UongoziUnaoachaAlama #KuraNiAlamaYaMaendeleo.
.jpeg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...