Mgiombea Ubunge wa viti maalum mkoa wa Pwani. Bi. Mariam Abdallah Ibrahim .

Ameungana na wanawake wa wialaya ya Mkungara kufagia uwanja leo kwajili ya 
kujiandaa na Uzindua wa Kampeni ya Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025 Kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi Katika Viwanja vya vya Mwandege mkoa Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani,leo tarehe 06 septemba 2025.







Baadhi ya Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakiwa kwenye Tukio Maalum la kufagia uwanja kwa ajili ya kujiandaa na Uzindua wa Kampeni ya Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025 Kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi Katika Viwanja vya vya Mwandege mkoa Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani,leo tarehe 06 septemba 2025.





 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...