Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mariam Ibrahim, ameongoza maandamano ya wanawake wa Mkoa wa Pwani kwa ajili ya kumkaribisha mgombea urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Maandamano hayo yamefanyika katika Kata ya Mwandege, Wilaya ya Mkuranga, utakapofanyika  mkutano wa kampeni wa Dkt. Samia.

Akizungumza wakati wa maandamano hayo, Mafuga Juma alisema kuwa wanawake wa Mkoa wa Pwani hawana muda wa kuandamana kwa maneno matupu, bali wana muda wa “kutiki” chama chao cha CCM kwenye sanduku la kura









 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...