
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres (kulia), akizungumza na Mjumbe Maalum na Mshauri wa Rais kuhusu Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN), Dkt. Richard Muyungi, aliyekuwa akiongoza ujumbe wa mawaziri wanane wa Afrika kuwasilisha misimamo ya bara hilo katika majadiliano yanayoendelea kwenye mkutano wa COP30 uliofanyika Belem, Brazil, leo.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...