Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa CCM, amejumuika na waombolezaji wengine kushiriki ibada ya kumuaga aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Jenista Joakimu Mhagama, inayofanyika katika Kanisa Katoliki Kiwanja cha Ndege, jijini Dodoma. 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anawaongoza waombolezaji katika shughuli hiyo ya kumuaga marehemu Jenista Mhagama, kanisani hapo.





 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...