Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi wa Kenya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Mhe. Isaac Njenga Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Desemba 2025. Balozi wa Kenya Mhe. Isaac Njenga alifika Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuaga Mhe. Rais Dkt. Samia ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia kuimarika kwa uhusiano wa kibiashara na Uwekezaji baina ya Tanzania na Kenya.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Kenya nchini Tanzania anayemaliza muda wake Mhe. Isaac Njenga Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Desemba 2025.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...