NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kwa mara ya kwanza kwenye historia tangu michuano hiyo ianzishwe mwaka 1957 baada ya kulazimisha sare ya 1-1 dhidi ya Tunisia.
Taifa Stars imefuzu hatua hiyo kwa njia ya "Best Loser" baada ya kumzidi Angola kwenye kigezo cha idadi ya mabao ya kufunga
Mchezo unaofuata katika hatua ya 16 bora Stars watakipiga dhidi ya Wenyeji wa michuano hii Timu ya Taifa ya Morocco.

Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kwa mara ya kwanza kwenye historia tangu michuano hiyo ianzishwe mwaka 1957 baada ya kulazimisha sare ya 1-1 dhidi ya Tunisia.
Taifa Stars imefuzu hatua hiyo kwa njia ya "Best Loser" baada ya kumzidi Angola kwenye kigezo cha idadi ya mabao ya kufunga
Mchezo unaofuata katika hatua ya 16 bora Stars watakipiga dhidi ya Wenyeji wa michuano hii Timu ya Taifa ya Morocco.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...