NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV

Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kwa mara ya kwanza kwenye historia tangu michuano hiyo ianzishwe mwaka 1957 baada ya kulazimisha sare ya 1-1 dhidi ya Tunisia.

Taifa Stars imefuzu hatua hiyo kwa njia ya "Best Loser" baada ya kumzidi Angola kwenye kigezo cha idadi ya mabao ya kufunga

Mchezo unaofuata katika hatua ya 16 bora Stars watakipiga dhidi ya Wenyeji wa michuano hii Timu ya Taifa ya Morocco.
Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...