Meneja Mauzo wa Vodacom Njombe Malika Malika (kulia), akikabidhi kapu la sikukuu kwa mmoja wa wateja wao Dickson Mhapu (katikati), katika muendelezo wa kampeni ya “Tupo Nawe Tena na Tena” inayolenga kugawa makapu kwa wateja katika msimu huu wa sikukuu.

 Tukio hilo lilishuhudiwa na Msimamizi wa Mauzo wa Vodacom eneo la Ilembula, Anania Kiwanga (kushoto). Kampeni hiyo imeendelea kutembea mikoa mbalimbali hapa nchini.

 Hafla hii limeandaliwa kwa lengo la kusherehekea pamoja na wateja, sambamba na kuhitimisha maadhimisho ya miaka 25 ya Vodacom ya utendaji kazi nchini, na limefanyika mjini Njombe mwishoni mwa wiki.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...