Mh. Magoti alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Kunenge, katika hafla ya kufunga mafunzo hayo yaliyolenga kuwawezesha Madiwani kutambua na kutekeleza vyema majukumu yao ya uwakilishi wa wananchi katika kata zao.
Mh. Magoti alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Kunenge, katika hafla ya kufunga mafunzo hayo yaliyolenga kuwawezesha Madiwani kutambua na kutekeleza vyema majukumu yao ya uwakilishi wa wananchi katika kata zao.








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...