.jpeg)
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa pamoja na Afande Commodore Azana Hassan Msingiri, Mkuu wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM) Zanzibar (kulia), na Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais na Idara Maalum za SMZ, mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuzindua majengo mapya ya taaluma, utawala na hosteli za wanafunzi za Taasisi ya Sayansi za Bahari (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, yaliyopo Buyu, Zanzibar, Alhamisi Januari 8, 2026



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...