Mtaalamu wa Mafunzo na Vijana wa Vodacom Tanzania Plc, Bw Samwel Komba (wa pili kushoto), akimkabidhi cheti Mwanafunzi Anneth Sianga, mhitimu wa programu ya Code Like a Girl, wakati wa mahafali yaliyofanyika jijini Dar es Salaam Ijumaa.

Programu hiyo, inayotekelezwa na Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na dLab, inalenga kukuza uelewa wa wasichana katika ujuzi wa kidijitali ili kuongeza ushiriki wao katika fani za Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM).

 Wengine ni Mkurugenzi wa dLab Dk Mahadia Tunga (kushoto), pamoja na mnufaika wa programu ya Code Like a Girl.







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...