Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mwalimu Mhakiki wa Maandishi ya Breli na Michoro ya Mguso kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania Bi. Hadija Salum wakati akitoa maelezo kuhusu matumizi ya michoro ya mguso katika ufundishaji wa watoto wa Elimu ya Awali, Wanafunzi wa Darasa la Kwanza na la Pili, mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), tarehe 29 Januari, 2026.
Home
Unlabelled
Rais Samia Aunga Mkono Michoro ya Mguso
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...