
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, leo Januari 21, 2026 amewasilisha Taarifa ya Taasisi mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini jijini Dodoma.
Kamati hiyo ilipata fursa ya kujadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya Nishati na utekelezaji wa Majukumu ya TANESCO





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...