Afisa wa Vodacom Feruzi Mlaponi ( Kulia) akiwa na mteja wa kampuni hiyo Said Kikotokeki, baada ya kumkabidhi kapu la Vodacom. Tukio hili limefanyika ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya kugawa makapu ya sikukuu kwa wateja katika msimu wa sherehe za kuanza mwaka. Kampeni hiyo imeendelea katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Hafla hii imeandaliwa na Vodacom ikiwa na lengo la kusherehekea mwaka mpya pamoja na wateja wao na kuwaonesha ushirikiano. Tukio hili limefanyika mwishoni mwa wiki mjini Lindi.



Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Plc mkoa wa Lindi Omary Kilumanga (Kushoto) na Afisa wa kampuni hiyo Feruzi Mlaponi (Kulia) wakikabidhi kapu la sikukuu kwa bi Anna Milanzi ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya kugawa makapu ya sikukuu kwa wateja katika msimu wa sherehe za mwaka mpya. Kampeni hiyo imeendelea katika mikoa mbalimbali hapa nchini huku hafla hii ikiwa imeandaliwa na Vodacom kwa lengo la kusherehekea mwaka mpya pamoja na wateja wao na kuwaonesha ushirikiano. Tukio hili limefanyika mwishoni mwa wiki mjini Lindi.

Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Mkoa wa Lindi Omary Kilumanga (wa nne kulia) akizungumza na wateja pamoja na wakazi wa mkoa huo baada ya kukabidhi makapu ya sikukuu kutoka Vodacom. Tukio hili limefanyika ikiwa ni muendelezo wa kampeni ya kugawa makapu ya sikukuu kwa wateja katika msimu wa sherehe za kuanza mwaka. Kampeni hiyo imeendelea katika mikoa mbalimbali hapa nchini. Hafla hii imeandaliwa na Vodacom ikiwa na lengo la kusherehekea mwaka mpya pamoja na wateja wao na kuwaonesha ushirikiano. Tukio hili limefanyika mwishoni mwa wiki mjini Lindi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...