Zanzibar 
TAASISI za kifedha na makampuni mbali mbali zimetakiwa kujitowa na kusaidia shughuli za kijamii sambamba na kutenga kiasi cha faida wanazopata kusaidia jamii zinazowazunguuka katika biashara zao.

Usafi ni jukumu la kila mtu hapa Benki ya biashara ya KCB imeamuwa kuunga mkono jitihada za serikali ya Zanzibar katika kudumisha usafi na mazingira wakitambuwa usafi ni Afya.

Mkuu wa Soko la darajani manispaa ya mjini Zanzibar Mariam Juma Mzee amesema hatua hiyo imewapa faraja na kuzitaka taasisi nyengine kuunga mkono usafi katika masoko ili kuendeleza Afya Bora kwa watumiaji sokoni Hapo.

Mariam Juma Mzee – Mkuu wa Soko Darajani Zanzibar .Baadhi ya wafanya Biashara katika soko hilo wameelezea umuhimu wa shughuli za usafi.

KCB wameamuwa kufanya usafi katika maeneo mbali mbali ya soko hilo ili kutowa hamasa kwa wananchi na wafanya biashara kuendeleza usafi.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...