
Katika jitihada za Kingbet kuwapa wateja wake huduma bora zaidi imezindua rasmi kampeni mpya inayojulikana kama “Butua kwa BUKU” promosheni yenye zawadi kubwa na zenye thamani kwa wateja wake wapya na wa zamani.
Kupitia kampeni hii, wachezaji wanapata nafasi ya kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo:
👉🏼 Bajaji mpya kabisa
👉🏼 Smart TV
👉🏼Friji
👉🏼Simu janja (Smartphones)
Kitu kinachovutia zaidi ni kwamba unahitaji dau la kuanzia 1,000 tu ili kuingia kwenye droo ya ushindi hii inaifanya promosheni hii kuwa rahisi kushiriki kwa kila mtu.
Jinsi ya Kushiriki na kushinda ni rahisi sana kwenye promosheni hii ya "BUTUA KWA BUKU"
Tembelea www.Kingbet.co.tz kisha Jisajili au ingia kwenye akaunti yako na suka jamvi lako kwenye mpira wa miguu au basketball kwa dau la kuanzia 1,000 na zaidi.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...