Dodoma, 25 Machi 2025
TanTrade inaongoza mageuzi ya sekta ya biashara nchini Tanzania kupitia Mpango wa CART.IS, unaolenga kuimarisha biashara ya kidijitali kwa urahisi na ufanisi zaidi.
Kupitia ujumuishaji wa mifumo ya taasisi mbalimbali na matumizi ya taratibu zisizohitaji karatasi, CART.IS inapunguza urasimu, inaokoa muda na gharama, na kurahisisha huduma kwa wafanyabiashara.
TanTrade ikiwa ni mdau muhimu wa mpango huu chini ya Mkurugenzi Mkuu Dkt. Latifa Mohamed Khamis, amebainisha kuwa kupitia Mpango huu, Tanzania inaongeza ushindani wake katika soko la kimataifa kwa kutoa huduma za haraka za kisasa na zenye kuaminika.
TanTrade inaongoza mageuzi ya sekta ya biashara nchini Tanzania kupitia Mpango wa CART.IS, unaolenga kuimarisha biashara ya kidijitali kwa urahisi na ufanisi zaidi.
Kupitia ujumuishaji wa mifumo ya taasisi mbalimbali na matumizi ya taratibu zisizohitaji karatasi, CART.IS inapunguza urasimu, inaokoa muda na gharama, na kurahisisha huduma kwa wafanyabiashara.
TanTrade ikiwa ni mdau muhimu wa mpango huu chini ya Mkurugenzi Mkuu Dkt. Latifa Mohamed Khamis, amebainisha kuwa kupitia Mpango huu, Tanzania inaongeza ushindani wake katika soko la kimataifa kwa kutoa huduma za haraka za kisasa na zenye kuaminika.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...