Mkuu wa kanda ya kati Vodacom Tanzania Plc Chiha Nchimbi (katikati) akifafanua kuhusu huduma ya afya mkopo kwa Naibu Waziri wa afya Dk Florence Samizi aliyetembelea banda la Afya mkopo katika kongamano la wadau wa sekta ya afya binafsi linaloendelea jijini Dodoma. 

Vodacom Tanzania Plc kwa kushirikiana na PharmAccess Foundation kupitia Medical Credit Fund wanatoa huduma ya mikopo kwa watoa huduma binafsi wa sekta ya afya Kupitia mfumo wa LIPA NAMBA, watoa huduma wanapata mikopo kwa haraka, kwa urahisi na kwa masharti nafuu ili kupanua huduma, kuboresha miundombinu na kukuza biashara zao. 

Kushoto kwake ni Dk Heri Marwa Mkurugenzi wa PharmAccess Foundation na kulia ni Maula Mafuru Meneja mauzo wa M-Pesa kanda ya kati 






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...