Mkuu wa kanda ya kati Vodacom Tanzania Plc Chiha Nchimbi (katikati) akifafanua kuhusu huduma ya afya mkopo kwa Naibu Waziri wa afya Dk Florence Samizi aliyetembelea banda la Afya mkopo katika kongamano la wadau wa sekta ya afya binafsi linaloendelea jijini Dodoma.
Vodacom Tanzania Plc kwa kushirikiana na PharmAccess Foundation kupitia Medical Credit Fund wanatoa huduma ya mikopo kwa watoa huduma binafsi wa sekta ya afya Kupitia mfumo wa LIPA NAMBA, watoa huduma wanapata mikopo kwa haraka, kwa urahisi na kwa masharti nafuu ili kupanua huduma, kuboresha miundombinu na kukuza biashara zao.




.jpeg)
.jpeg)

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...