Kamati ya Paralympic Tanzania (TPC) kwa kushirikiana na wadau wa michezo ya watu wenye ulemavu, tunatoa pongezi za dhati kwa MR. TUMA DANDI kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Kamati ya Paralympic Tanzania (TPC). 

Tunatambua mchango mkubwa wa International Paralympic Committee pamoja na vyama vyote vinavyosimamiwa na TPC, wadau wa michezo, na mamlaka mbalimbali zinazosimamia maendeleo ya michezo nchini kwa kuendelea kuunga mkono ushirikishwaji, maendeleo na mafanikio ya wanamichezo wenye ulemavu. 

Tunaamini uongozi wako utaendelea kuimarisha mshikamano, maendeleo ya michezo ya Paralympic na kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kimataifa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...