.jpeg)
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania na Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri wa Majini nchini Kenya wamesaini mkataba wa utambuzi wa vyeti vya mabaharia na hati ya makubaliano kuhusu ushirikiano na usimamizi wa sekta ya usafiri wa njia ya maji baina ya nchi hizo mbili.
Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mohamed Salum na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri wa Majini nchini Kenya CPA Omaye Nyarandi mbele ya Marais, Samia Suluhu Hassan na Rais William Ruto katika Hafla iliyofanyika Mei 4, 2026 Ikulu jijini Dar es Salaam


.jpeg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...