Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakaribisha walipakodi wote nchini kushiriki matembezi na mbio za Shukrani kwa Mlipakodi kuelekea Tuzo ya Rais kwa Mlipakodi bora na Maadhimisho ya miaka 30 ya TRA
Karibuni walipakodi wote na watanzania kwa ujumla siku ya Traehe 27 Juni, 2026 kuanzia saa 12 Asubuhi.‘Miaka 30 ya TRA, Kulipa kodi ni Uzalendo na Ushujaa kwa Maendeleo na kujitegemea kwa Taifa letu’’
#MbiozashukraniTRA #Miaka30yaTRA #TuzozaRaiskwamlipakodi



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...