Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na ujumbe wa Kampuni ya Heidelberg Materials, ambao ni wazalishaji wa Saruji chapa ya Simba Cement na Twiga Cement, ulioongozwa na Mjumbe wa Bodi ya Uongozi na Mtendaji Mkuu wa Afrika, Mediterranean na Asia Magharibi, Bw. Hakan Gurdal, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 26 Juni, 2026
Katika mazungumzo hayo, Kampuni hiyo imewasilisha mpango wa kupanua uwekezaji wake nchini, ukiwemo kuongeza uzalishaji wa Saruji, matumizi ya nishati safi na mradi wa usindikaji wa taka za majiji kwa ajili ya uzalishaji.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...