Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akiteta jambo na Waziri wa Rasilimali Madini, Nishati, Viwanda, Biashara na Utalii wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Hassan Kibeya, baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akichangia wakati wa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.

 Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akifuatilia mawasilisho mbalimbali wakati wa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), akipitia nyaraka za Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) (katikati), akiteta jambo na Kaimu Kamishna, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha Bi. Dionisia Mjema (kulia) na Naibu Kamisha wa Bima, Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na Mjumbe wa Bodi ya Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI) Bi. Khadija Issa Said, baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.


Baadhi ya washiriki wa mkutano wakifuatilia mawasilisho mbalimbali yakiendelea wakati wa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.


Watumishi wa Wizara ya Fedha, wakifuatilia mawasilisho wakati wa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, Prof. Kithure Kindiki, akifafanua jambo, wakati wa majadiliano, katika Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.


Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) (wa tatu kutoka kulia), Kaimu Kamishna, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha Bi. Dionisia Mjema (wa pili kutoka kulia) na Naibu Kamisha wa Bima, Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na Mjumbe wa Bodi ya Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI) Bi. Khadija Issa Said (wa tatu kutoka kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Wizara ya Fedha baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.


Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb) (wa tatu kutoka kulia), Kaimu Kamishna, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha Bi. Dionisia Mjema (wa tatu kutoka kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Wizara ya Fedha baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa 26 wa Wanahisa wa Taasisi ya Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI), uliofanyika jijini Nairobi, Kenya.

 

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Nairobi, Kenya)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...