Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu ubunifu wa ubunifu wa Samani za Majumbani  katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu ubunifu wa zana za kilimo za mashine za Kilimo pamoja na  Ufugaji katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu ubunifu wa mashine ya kuchanganya chakula cha mifugo  katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akiingalia Asali katika  banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...