Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu ubunifu wa ubunifu wa Samani za Majumbani katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu ubunifu wa zana za kilimo za mashine za Kilimo pamoja na Ufugaji katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akipata maelezo kuhusu ubunifu wa mashine ya kuchanganya chakula cha mifugo katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, akiingalia Asali katika banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) alipolitembelea wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.


.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...