kampuni ya adidas kupitia wakala wake wa malawi, kampuni ya connexions, imeingia mkataba na klabu ya simba kuuza jezi za timu na mashabiki ambapo asilimia 25 ya mapato inalamba klabu. kampuni hiyo inatarajiwa kusaini mkataba kama huo na yanga jumatatu. pichani ni mwakilishi wa kampuni hiyo felix sapao akiweka sahihi mkataba huo akiwa na katibu mkuu wa simba mwina 'simba wa yuda' kaduguda na mwenyekiti wa klabu hassan dalali jana hoteli ya regency park mikocheni, dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Safi sana, finally I will get my "unauthenticated" Simba jersey

    ReplyDelete
  2. Zisije hizo jersey sasa zikatu cost mikono na miguu.

    Wabongo tutaweza kuzinunua kweli?

    Machinga ulaji utaongezeka kwa hizo fek zitakua kibao mjini....

    ReplyDelete
  3. hello,
    mimi nimependezeshwa sana na hii idea ,its about time
    LAKINI nani ana design hizo jezi?
    KWANI mimi nilisikitishwa mno kusikia ile hoodie aliyoivaa jay z kwenye concert Tanzania ilikua designed by a Kenyan Designer.
    Mimi,ni Fashion Designer,ninasomea mambo haya ..imenibidi nisomee nje ya nchi ..lakini,ningependa ubunifu wa hizi jezi wapewe opportunity designer wetu wazalendo,kwani tuna uelewa wa hizi timu,tumekua nazo .Siwezi elewa mtu wa nchi nyingine anawezaje kuweka passion ,katika kubuni hizi jezi,na akampita mzalendo?
    I believe when this opportunity is given to Tanzanian Designers. That is Nationalism.
    Naomba contact ya hii company,CONNEXION,kwani mimi ni mbunifu wa mitindo na ningependa kuwasiliana nao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...