
Kiingilio kitakuwa ni sh 20000/=/tiketi zinapatikana movienpick, shoppers plaza, hoteli ya seacliff, mgahawa wa Best Bite, Jmall-Fomozo, Mlimani City na Famour Design Kinondoni karibu na sheli ya Bonjour
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kweli hiyo znz mpaka bongo tulikuwa wote bro sauti za busara kweli dada yetu ni designer mzuri ila na mashaka na wewe bro michuz maana umeshikia sana bango mtoto kaumbika huyo sijui kaubwa jumapili
ReplyDeleteMichuzi kwa promoshani tu, bingwa!!
ReplyDeletesawa mi yangu macho tu.
Huyo ni Fatma Makau wa Gazeti fulani la kila siku la kiswahili Tanzania au nimesoma vibaya????Ni mjamzito?,fuatilia Michuzi
ReplyDeleteHuyo Asmah alikuwa na Red eyes ungonjwa wa watani wa jadi
ReplyDeleteHuyo dada hiyo miwani mbona mikubwa sana kama fundi welding!
ReplyDeletekaka michu, mpe salamu zangu za dhati fatma, siku hiyo mi ntaenda kumuangalia yeye sio mavazi yake.... teh teh teh najua hii huitoi.
ReplyDelete