mwanaglobu mashuhuri mroky mroky a.k.a father kidevu kaibuka na globu yenye muonekano mpya na anaahidi kuendeleza libeneke maradufu. mtengenezaji wa globu hiyo ni yule yule gwiji la mambo hayo MK Group. inafurahisha na kutia moyo kuona kwamba sio tu wadau wengi wanajitokeza na globu bali pia kuja na globu zilizo nzuri na mambo kedekede kwani uwanda ni mpana na wengine wanakaribishwa kujiunga nasi. mtembelee father kidevu kwa kubofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 25, 2008

    Huku sasa kuchanganyana,

    Na ABDUL SALVADORY nae ni nani??

    Kama vipi huyu jamaa atafute A.K.A nyingine.


    NI HAYO TU!!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 25, 2008

    he is attractive

    manka

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 25, 2008

    wewe manka unataka kusutwa.ulizaga kwanza basi sawa?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 28, 2008

    Anonymous June 25,2008 7:49 PM
    Manka si lazima awe yule bali Manka kichaga ni binti wa pili kuzaliwa kwenye familia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...