

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Namkumbuka fredy kwa mchango wake katika jamii wakati ule nikiwa mwanafunzi na yeye alikuwa huanadika hadisi za kizungu katika gazeti moja la kila jumapili nimelisahau kwa hivi sasa ni miaka mingi binafsi umri wangu ni 45 sasa najiuliza kaka fredy anaumri gani kwani alipokuwa muandishi sisi bado ni watoto wa nyumbani niwanafusi wa primary tulijifunza maneno mengi ya kizungu kuoka katika hadisi zake zile za magazetini tunamshukuru kwa msada ule ijapokuwa ilikuwa ni lazima ununuwe gazeti lile
ReplyDelete