Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa katika picha ya pamoja na mdau Timothy Malasusa, ambaye ni mdogo wake, akiwa na mai waifu wake baada ya ubatizo wa Kyra. Timothy na Familia yake ambao walikuja nyumbani kwa sherehe hiyo wanatarajia kuondoka hivi karibuni kurejea Uingereza wanakoishi na kufanya kazi.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa katika picha ya pamoja na mdau Timothy Malasusa, ambaye ni mdogo wake, akiwa na mai waifu wake baada ya ubatizo wa Kyra. Timothy na Familia yake ambao walikuja nyumbani kwa sherehe hiyo wanatarajia kuondoka hivi karibuni kurejea Uingereza wanakoishi na kufanya kazi.

HONGERRENI KWA KUBATIZA MTOTO, MUMFUNDISHE KUMTEGEMEA MUNGU KATIKA MAISHA YAKE.HONGERA BABY.
ReplyDeleteWadogo zangu hongereni sana. Mwenyezi azidi kuwabariki na mtuzeni na kumlea mtoto katika misingi ya malezi mlio lelewa ninyi. Untwa abasajege fijo.
ReplyDeleteDada
hongereni kwa kuja kumbatizia nyumbani pia msisahau kumpeleka mbeya akapaone alikotokea babu yake Gehaz Malasusa, pia sinza kwa shangazi yake Tina Malasusa
ReplyDeletenyie mlipopata makaratasi ndiyo mkaamua kuzaa mtoto ili awe raia wa uigereza tutawachomea tu kwa maana nyie watanzania mnaoana kwa kujuana bado tutawacho mpaka Embassy hasa nyie mnao jipeleka kama waimbaji kwaya wa Rose Mhando sisi wa Bahati tulinyimwa huko nyie mnatengeneza makaratasi
ReplyDeletehongereni sana
ReplyDeletewewe anoy 12:16 unachekesha yaani mpaka nimepaliwa, si na wewe ukazae wako uingereza. mijitu mingine ndio manake hamjaliwi shauri ya kikorosho, kwani makaratasi yao yalichana ya kwako? get lost!!!!!!!!!!toto batizwa na Baba mkubwa na maisha ni tike tuuuu
ReplyDeletei vema mlichofanya,lakini ni kheri ingekua WAKFU kwa Mungu,ili UBATIZO wa mwana aje awe ameweza Kutubu na Kuomba Rehema za Mola mwenyewe.
ReplyDeleteMaina Ang'iela Owino