Home
Unlabelled
usaili wa kusaka kisura wa afrika umeanzia karatu wikiendi hii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
tunasaka kisura wa afrika, masharti ni kwamba asiwe na nywele za kiafrika. Haya pwaga twende tutafika tuu
ReplyDeleteMichu izi ndizo tutaziweza lakini Zombe awapi,Tusisahau kumpigia kula Iliminata Mtanzania mwenzetu.
ReplyDeletetunapenda kushiriki arusha lini mashindano jamani mimi ni kisura pia
ReplyDeleteJamani watuambie hao visura wamechaguliwa kwa vigezo na sifa gani kwanza. Kama mimi ninavyofahamu kisura wa Afrika anatakiwa awe na nywele zake asilia zakiafrika, Mrefu, Mwembamba, yaani Uso natural asijirembe saaana sasa hapo vigezo gani vimetumika kuwaeka hao washiriki?
ReplyDeleteKama ni urefu sawa ni warefu ila huyo wa katikati No no no no mfupi.
Nywele watoe hayo mawigi wabaki kama huyo kisura wa mwaka jana alikuwa bomba kweli kweli.
Hatutaki vitu feki, uchina uchina hatutakiiii.
Sifa za visura Afrika ni zipi? Wasuke basi mitindo yakiafrika mfano Mabutu (vitunguu), wavae kiafrika mfano kimasai, kanga nk. ndio tutajua ni visura wa Afrika (Watambulishe uafrika) sasa hao Ni visura wakimarekani au UK? Mywele zao mbona ni zakidhungu?
ReplyDelete