
Akiwa Ubalozini hapo, Mama Maria alipata fursa ya kuzungumza na maafisa wa Ubalozi huku akiwaonyesha nishani hiyo na cheti kikubwa (pichani juu) alivyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Aidha Mama Maria aliweka saini kwenye kitabu cha wageni na kupiga picha za kumbukumbu na maafisa.


wakiwa kwenye picha ya pamoja na Maofisa wengine wa Ubalozini hapo.
MAMA MARIA NYERERE NIMEFURAHI SANA KUKUONA HAPO UK.
ReplyDeletenaomba uwaambie hao maofisa wafanye kazi kwa moyo mmoja walifanyie taifa sio wajifanyie wao tu wajitume kama mwalimu nyerere alivyojituma.
SI UNAJUWA KALE KATABIA KA UFISADI WATANZANIA WENGI HIVI SASA WAMEKAPENDA. ni hayo tu michuzi kama ulifunga usinibanie
KUNGURU!!!!MAMA MARIA ANAMIAKA MINGAPI?KWANI ANAONEKANA YUPO BOMBA NA NGUVU ZAKE,KUNA ANAEJUWA UMRI WAKE?
ReplyDeleteI wish ungetembelea ubalozi wetu wa hapa DC uwapechangamoto. Labda wangefanya kazi kwa kuwajibika badala ya kumweka mtu kwenye hold nusu saa, na mwishowe uambiwe ahhh....yupo kwenye mkutano jaribu tena baadaye.
ReplyDeleteSo in every country that we represent we have about 10 workers.
ReplyDeleteJamaa marafiki, tumechoka na mtu moja hapa ubalozi afisa wa uwamiaji(uk) kwa jina ni mr, AMBUKILE anatunyanyasa sana watanzania tunaomba aondolewe pls please.
ReplyDelete