Home
Unlabelled
bonanza leaders club lazidi kushamiri
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu julio si muislamu? Mbona anakunywa pombe? Natamani apewe timu ya taifa baada ya Maximo.
ReplyDeleteUzuri wa umasikini ni kujirusha. Hata kama hunakitu lakini ngoma tangu enzi na enzi tunaenda siunjau raha kujipipa mwenyewe....Papa Pizzaro wa Bonanza upo?
ReplyDeleteMichuzi uwe una tupa za bonaza kila wiki tutashukuru sana ....
ReplyDeletebela va kuboma (kihwelo)kamwene
ReplyDeletevee u mkwamisi kabisaa,,,winywa kiki ichoo???
Wewe Anon wa kwanza umeona pombe unashangaa!! ukipelekwa kwenye kiti moto na ukaonyeshwa si utazimia? dini ipo moyoni kwa mtu na wala si kikundi cha watu.
ReplyDeleteDah! naona Twanga pepeta wako juu sana of late.Umati wote huo!!!. Msibweteke -keep it up vijana
ReplyDeleteKaka Michuzi uwe unatuwekea matukio ya leaders club kila weekend, binafsi nafarijika sana nikiona viwanja vya nyumbani kama hivi.
ReplyDeleteNipe five anony wa tano, hata hivyo huyo anony wa kwanza katika waislam wote wanaokunywa pombe huyo Julio ndio kamshangaza..acha zako wewe raha unajipa mwenyewe
ReplyDelete