Mwandishi Saleh Ali akiuliza maswali. Pamoja na mambo mengine alitaka kuwepo na usimamizi wenye weledi katika kuhakikisha hakuna njia ya mkato katika upigaji kura kupata wanamuziki bora ambapo magazeti, simu za mkononi na mitandao vitatumika
Mgeni rasmi Katibu Mtendaji wa BASATA Gonche Materego akiwa na meneja wa Kilimanjaro George Kavishe (shoto) na baadhi ya wanamuziki nyota waliohudhuria. Toka shoto ni AY, Nyoshi el Saadat, Mzee Yusuf, Profesa J, TID na Lady JDRatiba ya Zoezi hili kwa mwaka huu ni kama ifuatavyo.
February 18: Uzinduzi rasmi (tayari leo)
March 9: Semina kwa wasanii
March 20 na 21: Semina ya mchakato wa kuchambua kura
March 30: Waliopendekezwa (nominees) kugombea kategori mbalimbali kutajwa
April 1: Kura zinaanza kupigwa na wananchi
April 9: Semina ya wasanii waliopendekezwa (nominees)
May 14: Kilele cha shughuli, washindi kutajwa na kutuzwa


DO KABUKTA KA MSANII NOMA INGEKUA ON STAGE SAWA
ReplyDeletesasa sijui? mchango wa wanamziki wa Tanzania wanaofanyia kazi zao nje,lakini nyimbo zao zinapigwa na redio za nyumbani tutawapa kipau mbele gani? maana nao wanaiwakilisha bongo na pia kutoa ujumbe kwa jamii kupitia kazi zao za mziki.
ReplyDeletekamanda wa ffu na supu yako ya mawe,sijui utaambulia nini?wenzio watapewa zawadi ya Kili na wewe utapewa mawe uzidishe katika supu
ReplyDeletehata mimi nimeona hako kabukta hakakukaa sawa na hiyo shughuli..jamani bongo artists hamna stylist???
ReplyDeleteNAOMBA KUKUREKEBISHA ANKAL JOHN MUHINA AKA VAGA SIO VANGA TAFADHALI USICHAFUA JINA LA MZEE WETU...LOL
ReplyDeleteMDAU UK
ha ha haaa uuwii lady gaga!
ReplyDelete