


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
enyi viongozi wetu walafi.... tunaomba saaaana hiyo misaada iwafikie walengwa kama ilivyokusudiwa na sio muitoe kwa upendeleo na manyanyaso kama vile nyio ndo mliotoa
ReplyDeleteHizi ni pesa zetu walipa kodi so tunaomba tutendewe haki kwani NMB too much kupendelea sehemu za kupeleka hiyo misaada.
ReplyDeleteVijana tuamke wafanyakazi maofisini tunatozwa kodi nyingi na TRA (Tax) lakini muwekezaji anapewa msamaha wa kodi kwa vitu anavyoingiza nchini'' hivi bado tunafanywa wajinga huku tunapiga kura kuchagua viongozi wanaotunyonya watu wa hali ya chini.
Kweli kwa nini hili lisilalamikiwe JAMANI HEBU KAKA MICHUZI SAMAHANI KWA USUMBUFU NAOMBA HII SWALA TULIANGALIE KUPITIA HII BLOG YA JAMII.
BY MKEREKETWA
hongereni sana nmb kwa misaada kwa jamii. kila leo mko maeneo tofauti tofauti, hadi kusini mmefika? niwapongeze tu kwani tandahimba kunahitajika sana misaada ni wilaya ambayo iko pembezoni kweli mwa nchi.
ReplyDeletesafi sana nmb kwa kufika mpaka namtumbo. Huko ni mbali jamani nmb mnastahili pongezi
ReplyDelete