






Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ni bora ialalishwe tuu hii staili ya kuweka mkono kifuani wakati wimbo wa taifa unaimbwa manake wengine wanaweka wengine wamenyooka kama mshumaa wengine mikono nyuma alimradi kila mmoja na staili yake na wimbo uishe bongo bwana mh!
ReplyDeleteKama kuna mdau humu ndani aliye karibu na hawa watu wa utamaduni jamani naombeni mfikishe ujumbe huu: HAILETI MAANA KAMA WASANII WANACHEZA NGOMA ZA KIENYEJI/ KIAFRIKA HALAFU WANAVAA NGUO ZA KISASA/KIMAGHARIBI PAMOJA NA KOFIA (CAP)!!
ReplyDeleteHivi jamani wimbo wataifa ukiimbwa huwa tunaweka mkono kifuani au tunaweka mikono chini na kusimama kwa ukakamavu?naona watanzania tumekazana kuiga hadi viongozi wakakosea embu muangalie huyo Shekifu..Boring
ReplyDeleteNi jambo la aibu sana kwamba chipukizi wamefundishwa kuimba wimbo wa taifa wakiwa wameweka mkono kifuani. Mkuu wa mkoa ametoa mfano. Hii ni mara ya pili globu ya jamii imeanika watu hawajui wanatakiwa kusimama vipi wanapoimba wimbo wa taifa, mara ya kwanza ilikuwa wabunge wakijiandaa kwa mechi.
ReplyDeleteAibu kweli!
Nauliza tu, hivi hizi sare za mwenge ni lazima ziwe za style ya bangos, manake naamini baada ya hiyo shughuli haziwezi kuvalika mahali pengine popote.
ReplyDelete