

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo ndo unaona jinsi gani wabongo tulivyo wabinafsi,kwenye kundi lake hakuna mbongo mwengine ina maana wanamuziki wa bongo hakuna anayeweza kuendana na muziki wake?
ReplyDeleteKwa hatua aliyofikia ilikuwa ni wakati muafaka kwake kuwainua wanamuziki wa nyumbani wakaitangaza nchi kikamilifu,jamani kwa nini tusiwe kama wenzetu wa Afrika magharibi ambao wakipata fursa kama hizi basi watafanya kila namna kuwasaidia wenzao waliowaacha na ndio maana wametapakaa dunia nzima, hata kama ulikwenda kwa ugumu haina maana usiwasaidie wenzio. Tenda wemw malipo kwa Mungu
sasa we mdau unapozungumzia ubinafsi!wa wabongo,unashangaza sana,lazima kwanza uelewe tatizo la wabongo wenyewe wanapomuona bongo mwenzao amefanikiwa!badala ya kumuhunga mkono, wanataka kumdidimiza ili akomoke.Pili kama wanamziki wenyewe wa kibongo hawapendi kumpa support sasa yeye afanyeje? ni bora asonge mbele na wanamziki wa mataifa mengine ambao wanao mkubali
ReplyDelete