


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mustafa mkullo maisha kayapatia toka NSSF mpaka waziri wa fedha.
ReplyDeletemdau Ukerewe!!!
I just hope wapiga kura wa Kilosa wataelewa faida ya kuletewa benki ya NMB ili wampigie kura mbunge wao Mhe. Mkulo
ReplyDeletenimefurahi sana nmb kufungua matawi na hasa kwa kilombero kwani tulikuwa tunapata shida sana sisi wakazi wa huku kilombero. tawi la zamani lilikuwa dogo sana na msongamano ulikuwa ni mkubwa sana lakini sasa tunashukuru kwamba nmb imeona kero hiyo na kufungua tawi ambalo lina nafasi kubwa zaidi na kizuri zaidi ni tawi la kisasa. asanteni sana uongozi wa nmb kwa kutatua kero hii.
ReplyDeletenmb wameanza kuongeza matawi morogoro? kweli hii ni habari njema manake ilikuwa ni hatari foleni mwanzo mwisho...nawapongeza kwa hilo
ReplyDeleteMchangiaji wa kwanza jaribu kuuliza kabla hujatuma mchango/maoni yako,Mkulo ni mbunge wa Kilosa na si Kilombero.
ReplyDeleteNatamani Tanzania ingekua chini ya ufalme kama UK au SAUDIA maana hizi siasa za bongo ni njaa tupu,Rais kutwa kuchwa anaomba,warizi anaomba,spika...etc..etc ..every body down here is motherf..ker begger...what a contry!!!
ReplyDelete