

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio
ReplyDeletewa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye
na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi machoni, wala asiye mzembe
wa kufikiri, anaalikwa asome kwa uangalifu na azingatie makala hii na
awashirikishe ndugu, jamaa na marafiki zake popote pale walipo..
Dr Slaa yes we can! Huyu ni mtanzania wa pili baada ya Nyerere kuchukia
ufisadi kwa vitendo. Ni mtanzania wa pili kuchukia umaskini wa watanzania
kwa vitendo. Ni Dr. Slaa aliyesimama na kutaja majina ya wala rushwa na
mafisadi. Akataka wale wanaopinga wampeleke mahakamani. Hakuna aliyethubutu
kujitokeza kumpeleka mahakamani.
Ni Dr. Slaa aliyesimama bungeni kuomba posho za wabunge kupungzwa
kuzielekeza zaidi kwa watanzania maskini. Ni Dr Slaa aliyesimama bila woga
kunyosha vidole kwa matumizi mabaya ya ofisi za umma. Ni Dr Slaa amekuwa
mtanzania baada ya Nyerere kutoa hoja za nguvu zinazomlenga kumkomboa
mtanzania maskini. Maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi? Ajira milioni
moja ziko wapi? Hebu mwenye mbavu za kujibu swali hili ajibu bila unafiki!
Ni Dr Slaa anayeweza kudhibiti matumizi mabaya ya ofisi za umma. Ni Dr Slaa
anayeweza kuwapa elimu ya bure watoto wetu pale mlimani. Achana na
longolongo za CCM kuwatoza ushuru watoto. Waulizeni majukwaani wao Nyerere
aliwatoza ada? Kama si kutaka watanzania waendelee kuwa mambumbumbu ni
nini? kama si kutaka watanzania tuendeleee kuwa watumwa ni nini?
Ni Dr. Slaa anayeongelea treni ya umeme kwenda Kigoma, Dodoma, Tabora, na
Mwanza. Waulize mpango wao ccm kama si kuwapa wahindi wanaoleta mabehewa
ambayo mababu zetu walitumia wakati wa ukoloni. Sasa wahindi wanabaki
kutudanganya na bajaji wakati vyuma chakavu vya reli sasa vinatumika
kujenga vyoo. Hawa hawatutakii mema. Hawana tofauti na akina Carl Peters.
Ni Dr Slaa anayeongelea mfumko wa bei -nani hajajua dola leo hii ni sawa na
tsh 1500. Uchumi unadidimia kwa kasi. Ahadi nyingine za uongo lukuki
zinatolewa tena, wakati zile tulizoahidiwa mwaka 2005, hata moja
haijatekelezwa. Watanzania walio wengi na hasa wa vijijini, wamelala
usingizi. Wanafumbuliwa macho, lakini wamesinzia bado! Wanatabasamu,
wanachekelea na kuridhika na vitisheti vya kijani na vikofia za njano.
Wamekwishazoea shida kiasi kwamba wanadhani ni sehemu ya maisha yao . Ee
mwenyezi Mungu, tunusuru na hili balaa..
Ni Dr.Slaa anaweza kuzuia wizi wa matrilion ya pesa kutoka migodi yetu ya
Buzwagi, Geita, Bulyankulu, Buhemba, Nyamongo, Tulawaka, Nzega na
Tanzanite. CCM wameshindwa kwa sababu ni washirka wakubwa na wameruhusu
wizi huo. Ni Dr Slaa anaeweza kuwalipa wafanyakazi zaidi ya shilingi
350.000 achana na CCM ambayo imeshindwa kusimamia maliasili ambazo
zingeliwapa wafanyakazi kima cha chini kinachokidhi mahitaji yao .
Ni Dr.Slaa anayeweza kusimamia mashirika ya umma kuleta tija achana na CCM
wanaofyonza michango yetu kule, kwani haya mashirika yameshindwa nini
kuwajengea nyumba wanachama wake? Mbona kwingine yameweza? Ni Dr.Slaa
anayeweza kuongoza nchi bila woga, kwa utawala wa kweli wa sheria bila
kuwaonea watu wala bila kulipiza visasi.
Ni Dr. Slaa ambaye amepanga kubadili katiba ili Rais afuate matakwa ya
walio mwajiri ambao ni wananchi. Waulize CCM hata kama mtu kaiba anapewa
mda arudishe pesa. Hivi inaingia akilini kweli? Utawala wa sheria uko wapi?
Naomba niwape heko ITV kwa kuturejeshe kwenye hotuba za mwalimu. Katika
hotuba yake moja alisema waziri mmoja kule uingereza aliandikwa kidogo tu
gazetini juu ya kashfa, yule waziri alijiuzulu na waziri mkuu hata
hakumjibu bali aliteua mtu mwingine.
CCM hawawezi hayo? Eti wanataka ushahidi. Nani kawambia rushwa tule wawili
harafu tutoe vielelezo? Tunaiona rushwa kwa matokeo yake. Matengenezo ya
barabara ya bilion 200, baada ya siku mbili imeharibika. Kwanini usimfukuze
waziri na katibu wake wa wizara kwanza? CCM hawawezi! eti wanataka
vielelezo!
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio
ReplyDeletewa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye
na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi machoni, wala asiye mzembe
wa kufikiri, anaalikwa asome kwa uangalifu na azingatie makala hii na
awashirikishe ndugu, jamaa na marafiki zake popote pale walipo..
Dr Slaa yes we can! Huyu ni mtanzania wa pili baada ya Nyerere kuchukia
ufisadi kwa vitendo. Ni mtanzania wa pili kuchukia umaskini wa watanzania
kwa vitendo. Ni Dr. Slaa aliyesimama na kutaja majina ya wala rushwa na
mafisadi. Akataka wale wanaopinga wampeleke mahakamani. Hakuna aliyethubutu
kujitokeza kumpeleka mahakamani.
Ni Dr. Slaa aliyesimama bungeni kuomba posho za wabunge kupungzwa
kuzielekeza zaidi kwa watanzania maskini. Ni Dr Slaa aliyesimama bila woga
kunyosha vidole kwa matumizi mabaya ya ofisi za umma. Ni Dr Slaa amekuwa
mtanzania baada ya Nyerere kutoa hoja za nguvu zinazomlenga kumkomboa
mtanzania maskini. Maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi? Ajira milioni
moja ziko wapi? Hebu mwenye mbavu za kujibu swali hili ajibu bila unafiki!
Ni Dr Slaa anayeweza kudhibiti matumizi mabaya ya ofisi za umma. Ni Dr Slaa
anayeweza kuwapa elimu ya bure watoto wetu pale mlimani. Achana na
longolongo za CCM kuwatoza ushuru watoto. Waulizeni majukwaani wao Nyerere
aliwatoza ada? Kama si kutaka watanzania waendelee kuwa mambumbumbu ni
nini? kama si kutaka watanzania tuendeleee kuwa watumwa ni nini?
Ni Dr. Slaa anayeongelea treni ya umeme kwenda Kigoma, Dodoma, Tabora, na
Mwanza. Waulize mpango wao ccm kama si kuwapa wahindi wanaoleta mabehewa
ambayo mababu zetu walitumia wakati wa ukoloni. Sasa wahindi wanabaki
kutudanganya na bajaji wakati vyuma chakavu vya reli sasa vinatumika
kujenga vyoo. Hawa hawatutakii mema. Hawana tofauti na akina Carl Peters.
Ni Dr Slaa anayeongelea mfumko wa bei -nani hajajua dola leo hii ni sawa na
tsh 1500. Uchumi unadidimia kwa kasi. Ahadi nyingine za uongo lukuki
zinatolewa tena, wakati zile tulizoahidiwa mwaka 2005, hata moja
haijatekelezwa. Watanzania walio wengi na hasa wa vijijini, wamelala
usingizi. Wanafumbuliwa macho, lakini wamesinzia bado! Wanatabasamu,
wanachekelea na kuridhika na vitisheti vya kijani na vikofia za njano.
Wamekwishazoea shida kiasi kwamba wanadhani ni sehemu ya maisha yao . Ee
mwenyezi Mungu, tunusuru na hili balaa..