Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Nguzo ya English Medium , Mkoani Morogoro , Vailet Manfred ( kulia) akifafanua jambo juu ya uelewa wake wa somo la Kompyuta linalofundishwa shuleni hapo ( anaye fuatia ) ni mwanafunzi mwenzake Mariam Salim , huku wakisikilizwa kwa makini na Mkuu wa Shule hiyo, Tahiya Mohamed ( nyuma na mwanafunzi ) na kushoto ni Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One, Hamis Liana .
Mwalimu Sweety Kabate ( kushoto) wa somo la Kompyuta katika shule ya Msingi ya Nguzo ya English Medium , akiwaelekeza wanafunzi wake , Mariam Salim na Voilet Manfred , kuwasha Kompyuta , juzi shuleni hapo , baada ya kupokea msaada wa Kompyuta nano kutoka Kampuni ya Tumbaku ya Alliance One ya Mjini hapa. Picha zote na John Nditi wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Morogoro hatujalala.. Big up Nguzo

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 15, 2011

    Werawera ma primary school i mic it

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...