Waziri wa Katiba na Sheria,Mhe. Celina Kombani ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ulanga Mashariki akizungumza na wanaachi waliokuwa wakisubiri kuvuka Mto Kilombero kwa pantoni kuelekea Mahenge ambako ndio makao makuu ya Wilaya ya Ulanga na jimbo lake la Ulanga Mashariki.
Sehemu ya Shule Kongwe ya Sekondari ya Kwiro iliyopo Mahenge inavyoonekana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...