Je, wewe ni mwanafunzi wa zamani wa shule ya sekondari ya Kinondoni Muslim?
Karibu sana katika mkutano wa wanafunzi wa zamani wa Kinondoni Muslim;
Mkutano huo utafanyika shuleni Kinondoni Muslim
Siku;Jumamosi
Tarehe; 01.09.2012
muda; Kuzia saa 8 mchana
FIKA;
1. Upate fursa ya kuonana na kuwasalimia wanafunzi wenzako wa zamani.
2. Upate maelezo juu uanzishwaji wa Mtandao wa wanafunzi wa zamani wa Kinondoni Muslim pamoja na faida zake.
3. Ufaidike kibishara na kijamii kwa kushirikiana na mtandao wa wanafunzi wenzako wa zamani.
Kwa mawasiliano zaidi tafadhali wasiliana na:
Bi. Mambo Tambaza (0713 236110)
AU
Barua pepe: kinondonireunion@gmail.com
Face Book: Kinondoni Reunion
USIKOSE NAFASI HII YA PEKEE YA KUKUMBUKANA NA KUFAHAMIANA
Karibu sana katika mkutano wa wanafunzi wa zamani wa Kinondoni Muslim;
Mkutano huo utafanyika shuleni Kinondoni Muslim
Siku;Jumamosi
Tarehe; 01.09.2012
muda; Kuzia saa 8 mchana
FIKA;
1. Upate fursa ya kuonana na kuwasalimia wanafunzi wenzako wa zamani.
2. Upate maelezo juu uanzishwaji wa Mtandao wa wanafunzi wa zamani wa Kinondoni Muslim pamoja na faida zake.
3. Ufaidike kibishara na kijamii kwa kushirikiana na mtandao wa wanafunzi wenzako wa zamani.
Kwa mawasiliano zaidi tafadhali wasiliana na:
Bi. Mambo Tambaza (0713 236110)
AU
Barua pepe: kinondonireunion@gmail.com
Face Book: Kinondoni Reunion
USIKOSE NAFASI HII YA PEKEE YA KUKUMBUKANA NA KUFAHAMIANA
Kinondoni Sec Hoyeeeeeee!
ReplyDeleteMdau Class of 1990
Form IV-D
Enheee
ReplyDeleteMimi nimesoma Kino lakini baada ya bangi nyingi na usela nikatimuliwa nikiwa form 3 mwaka 1989.
Isipokuwa kwa sasa hivi mimi ni mstaafu wa hayo mabange na usela ni mtu mzima na kili zangu timamu ninajiheshimu na najitambua na ni mstaarabu.
Sasa hapo mtaniweka vipi?
Nimo au simo?
Azasi Puzza Lee
MSELA MSTAAFU KINOSESCO.