


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
africa khususan ya mashariki kamwe haitoweza kupiga vita umaskini na kupata maendeleo,hii michezo ni kupeana posho tu hakuna faida yoyote inayopatikana kutokana na michezo hii.hizi pesa wangeziwekeza kwenye michezo mashuleni ili watoto waendeleze vipaji,hawa watu wazima wameshazeeka,kwanini wapewe posho kwa afya zao wenyewe,kwa kweli inasikitisha,michezo ya namna hii ipo africa tu
ReplyDeleteGreat point above, nchi inaliwa utafikiri hakuna kesho. Hizo ni hela zetu, hao wenye matumbo wangetumia hela zao kwenda kutalii Nairobi. Guys show some leadership!!! Kuna siku uwajibikaji utaanza, kila kitu kina mwisho.
ReplyDeleteTimu ya Bunge ni Moto Mkali!
ReplyDeleteNi kwa nini kule Kampala-Uganda kwenye CECAFA hamkupeleka timu ta yetu ya Bunge badala yake mnapeleka vijana wasio na 'SHIBE' wa Kili Stars/Taifa Stars?
Mnaona sasa matokeo yake tumeshindwa?