IMG_9695
Mshindi wa tano wa DStv Rewards, Alphonce Mlekwa Omary (wa pili kutoka kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Meneja Masoko wa MultiChoice Tanzania, Furaha Samalu(kushoto), Meneja Mahusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi (wa pili kutoka kulia)  na Meneja Muajiri wa MultiChoice Tanzania, Tike Mwakitwange(kulia), mara ya kukabidhiwa mfano wa hundi ya Tshs Milioni 5 kuashiria ushindi alioibuka nao.

Wateja wa DStv ambao wanalipia malipo ya mwezi ya akaunti zao kabla ya kukatika wanaendelea kubahatika na kuibuka washindi wa mamilioni ya pesa kila wiki. Hiyo ni kupitia droo maalumu ya DStv ambayo imepewa jina la DStv Rewards.

Mteja ambaye amebahatika kuibuka na kitita cha Tshs Milioni 5 wiki hii na hivyo kuifanya idadi ya washindi kufikia watano ni Bw. Alphonce Mlekwa Omary.
IMG_9808
 Tabasamu la ushindi. Ndivyo inavyoonekana katika picha kwa mshindi wa 5 wa DStv Rewards akifurahia kitita cha Tshs 5,000,000. Waliomzunguka pembeni ni ndugu zake ambao walimsindikiza na kufurahia pamoja naye ushindi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Duuuu Multi Choice, Ma-meneja wenu mbona mademu wazuri zuri tuu, hakuna ma-meneja wanaume? tehee teehe teehee. Wazuri hao acha tuu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...